• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

Historia


HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO

1.      UTANGULIZI
Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo ni moja kati ya Halmashuri 9 katika Wilaya 7 za Mkoa wa Pwani. Halmashauri ya Bagamoyo inaundwa na Tarafa 2, Kata 11, Vijiji 8 na Vitongoji 174  

1.1.JIOGRAFIA YA WILAYA
Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo ina ukubwa wa eneo lenye kilometa za mraba 945 ambalo ni eneo la nchi kavu.

1.2.MIPAKA YA ENEO
Halmashauri ya Wilaya inapakana na Bahari ya Hindi kwa upande wa Mashariki, Kusini inapakana na Wilaya za Kibaha na Kinondoni, Magharibi na kaskazini inapakana na Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze.  Makao Makuu ya Wilaya yapo Bagamoyo mjini (mji wa kihistoria /stone town) umbali wa kilomita 65 kaskazini ya jiji la Dar es Salaam.

1.3.HALI YA HEWA
Halmashauri ya Wilaya ya Bagamyo inapata kiasi cha wastani wa mm 800 – mm1200 za mvua kwa mwaka.Wilaya  ina misimu miwili ya mvua ambayo ni Msimu wa Vuli unaoanzia mwezi Oktoba – Desemba na Msimu wa Masika unaoanzia mwezi Machi – Juni.
Mtiririko wa mvua na Idadi ya siku kwa kipindi cha miaka 10 (2007 – 2016)
 
1.4.IDADI YA WATU
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Halmashauri ya Wilaya  ilikuwa na jumla ya wakazi 97,660 (wanaume 48,603 na  wanawake 49,057). Kutokana na ongezeko la watu la asilimia 2, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kwa mwaka 2016  inakadiriwa kuwa na watu 107,288 (wanaume 53,395 na wanawake 53,893).

1.5.PATO LA MWANACHI
Pato la Mwananchi limekuwa likiongezeka Mwaka hadi mwaka Kama ifuatavyo:
 
Lengo la Halmashauri ni kuboresha shughuli za uzalishaji ikiwa ni pamoja na  Kilimo, ufugaji wa Mifugo na Nyuki, huduma za jamii  na Miundombinu ya barabara ili Pato la mwananchi kwa mwaka 2016/2017 liwe zaidi ya Tsh 858,126.


1.6.SHUGHULI ZA KIUCHUMI

Shughuli kuu za Kiuchumi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo ni pamoja na;

•Kilimo; Mpunga, Mahindi, Pamba, Ufuta, Mananasi, Korosho, Viazi vitamu, Nazi na Maembe.

•Uvuvi katika Bahari ya Hindi, mto Ruvu pamoja na mabwawa ya kuchimba.

•Ufugaji.

•Uvunaji wa chumvi pamoja na zao la mwani.

•Utalii wa Asili (Fukwe nzuri za baharí ya Hindi, viumbe vya baharini, Hifadhi ya mikoko, bustani ya Matumbawe)

•Utalii wa kiutamaduni (Maeneo ya kihistoria, uchoraji, uchongaji, ngoma za asili, tiba za jadi, mavazi)
Shughuli zinazoongoza kukuza uchumi wa Halmashauri ya Wilaya ni pamoja na kilimo, ufugaji, uvuvi na uuzaji wa rasilimali madini ya aina mbalimbali kutoka pembezoni mwa Bahari; Mapinga, Magomeni, Makurunge, Kiromo, Yombo na Kitame.

Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUWEKEZA KATIKA ENEO LA BADECO February 04, 2021
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZAIDI YA MILIONI 200 KUTUMIKA KUANDAA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN)

    February 26, 2021
  • LINDENI MISITU YA MIKOKO:WAZIRI UMMY

    February 17, 2021
  • DC KAWAWA AAGIZA TARURA KUONDOA VIFUSI VYOTE BARABARANI

    February 02, 2021
  • BILIONI 41,860,877,939/- ZAPITISHWA KUWA BAJETI KUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO

    January 29, 2021
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo