• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

DC KAWAWA AAGIZA TARURA KUONDOA VIFUSI VYOTE BARABARANI

Posted on: February 2nd, 2021

Mkuu wa wilaya ya bagamoyo amewataka wakala wa barabara mijini na vijijini (TARURA) kuondoa vifusi vyote ambavyo wamevimwaga barabarani kuviondosha mara moja katika sehemu zote walizomwaga vifusi hivyo katika barabara zote.

Ameyasema hayo hapo jana tarehe 1February 2021 wakati wa upitishaji wa Rasimu ya Mapendekezo ya Bajeti ya Maendeleo mwaka 2021/22 katika kamati ya Ushauri Wilaya ya Bagamoyo na kutoa maelekezo hayo wakati wa kikao hicho na kutoa muda wa siku moja kuondoshwa kwa vifusi hivyo.

Mhe Kawawa ameeleza changamoto hiyo ya vifusi vilivyopo barabarani kuwa ni kero kwa wananchi ambapo vinasababisha foleni,njia kuwa ndogo na magari kushindwa kupishana pia kusababisha kutokea kwa usumbufu huo

‘’nataka  vile vifusi viwe vimebadirika ama mviondoe kama hamtaki kurekebisha hizo barabara  lakini nisivikute kote mliko mwaga vifusi vyenu muende mkavitoe kama hamuwezi kuvisambaza’’ Alisema Mhe Kawawa

Aidha Mhe Kawawa pia amesema kuwa kulinagana na mapendekezo waliopendekeza kwenye rasimu ya mapendekezo ya bajeti 2021/22 kuhakikisha wanasimamia vizuri katika makusanyo ya mapato ya ndani vizuri ili kuweza kurahisisha katika utekelezaji wa majukumu na kuweza kujiendesha wenyewe bila ya kusubiri fedha kutoka serikali kuu


Pia Mhe Kawawa amesema kuwa kuwekwa kwa utaratibu mzuri wa matumizi ya rasilimali ya mapato pale ambapo wamekusanya na kuacha matumizi baya ya mapato hayo kwani itakuwa ni aibu kwa kutumia vibaya pasha za mapato ya ndani pasipo kufanya miradi ya maendeleo

‘’unaposema mwenzetu huyu tajiri lazima tuone utajiri wako upoje pia na matumizi yako yapoje na mipango yako ipoje ya fedha ambazo ulizokuwa nazo lazima tuweke utofauti katika matumizi yetu’’alisema Mhe Kawawa

Aidha Mhe Kawawa ametoa pongezi kwa Halmashauri ya Bagamoyo kwa kupata mafanikio katika soko la samaki ambalo soko hilo linatarajiwa kuanza kwa ujenzi huku kikubwa akisisitiza nidhamu kwani mafanikio ya rasilimali fedha yanatokana na nidhamu nzuri ya kukusanya na nidhamu nzuri ya kutumia hivyo ni muhimu kuwa na nidhamu zote ili kuhakikisha mamabo waliyoyapnaga yanakwenda kama yalivyo andikwa.


Pia katika hatua nyingine Mhe Kawawa amegusia swala zima la usafi wa mazingira na kueleza kuwa ipo haja ya kuanza kutumia sharia elekezi kwa utupaji ovyo wa takataka na kutosafisha mazingira kwani kufanya hivyo itawafanya watu kuamka na kuanza kuwa hamasa ya kufanya kufanya usafi katika maeneo yao ili pia kuweza kufika malengo ya kuiweka bagamoyo katika hali ya usafi muda wote.

Katika  Kamati ya Ushauri Wilaya ya Bagamoyo (DCC) imepitisha Rasimu ya mapendekezo ya Mpango na Bajeti ya Maendeleo mwaka 2021/2022 kwa Halmashauri ya bagamoyo jumla ya kiasi cha Tsh 41,860,877,939.00 kwa halmashauri ya wilaya ya bagamoyo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kati ya fedha hizo Tsh.8,069,195,609 ni ruzuku ya miradi ya maendeleo,Tsh 28,128,366,330 mishahara na Tsh 3,854,020,000 ni mapato ya ndani.



Matangazo

  • TANGAZO LA ZABUNI YA KUWEKEZA KATIKA ENEO LA BADECO February 04, 2021
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • LINDENI MISITU YA MIKOKO:WAZIRI UMMY

    February 17, 2021
  • DC KAWAWA AAGIZA TARURA KUONDOA VIFUSI VYOTE BARABARANI

    February 02, 2021
  • BILIONI 41,860,877,939/- ZAPITISHWA KUWA BAJETI KUU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO

    January 29, 2021
  • kikao maalumu cha kamati ya wataalamu C.M.T kupokea na kujadilimmapitio ya mpango na bajeti kwa mwaka 2020/2021 na mapendekezo ya bajeti ya mwaka 2021/2022.

    January 25, 2021
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo