• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

WEKENI MIKAKATI MADHUBUTI KUDHIBITI MAAMBUKIZI MAPYA YA UKIMWI: RC NDIKILO

Posted on: December 1st, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe Eng Evarist Ndikilo amewataka Viongozi na Wadau mbalimbali Mkoani Pwani kuweka Mikakati madhubuti  kupambana na kushusha maambukizi ya VVU Mkoani hapo.

Ametoa agizo hilo Desemba 1,2020 wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI  Duniani yalifanyika kimkoa Wilayani Bagamoyo katika Viwanja vya Shule ya Msingi Majengo.


Akizungumza na Wanachi hao Ndikilo amesema Takwimu zinaonesha kiwango cha maambukizi Kimkoa Kimepungua kutoka asilimia 5.9 mwaka 2012 hadi asilimia 5.5 mwaka 2017. "Maambukizi yamepungua ingawa bado tupo juu ya Wastani wa kitaifa ukilinganishe  na kile cha Taifa cha asilimia 4.7"


Ndikilo ametaja Halmashauri ya Kibaha Mji, Mkuranga na Chalinze kuonekana kuwa na maambukizi mengi kutokana na uwepo wa Shughuli nyingi za mwingiliano wa kiuchumi.


Akisisitiza Upimaji wa Hiari  Ndikilo amesema Idadi kubwa ya wanaopima ni Wanawake  ukilinganisha na Wanaume. Amewataka wanaume kuacha uoga wa kupima VVU.Aidha, Amewataka Waishio na Virusi vya UKIMWI  wasibweteke na kufubazwa kwa  VVU na kuanza  mienendo isiyofaa." Naomba muendelee kufuata maelekezo ya wataalamu ili kulinda afya zenu"


Akitaja Changamoto zinazochochea mapambano dhidi ya  VVU Mkoani hapo Ndikilo ametaja  kuwa ni pamoja na Ndoa za utotoni, kuwepo kwa vituo vya maegesho ya malori kwenye barabara kuu,  ulevi  uliopindukia, ngoma za usiku (Vigodoro), kuwepo kwa biashara ya Ngono, ikiwemo vigodoro, "hizi ni miongoni mwa changamoto zinazokwamisha juhudi za mapambano dhidi ya UKIMWI.

Ndikilo ametoa wito kwa wadau mbalimbali  wanaoshughulika na Masuala ya Udhibiti wa UKIMWI kuendeleza mapambano, ikiwemo Halmashauri kuwa na Sheria ndogo za kudhibiti sherehe na shughuli mbalimbali zenye viashiria vya UKIMWI.

Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani kwa Mkoa wa Pwani yamefanyika leo Disemba 1, 2020 Wilayani Bagamoyo yakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mhandisi Evarist Ndikilo aliyekuwa Mgeni rasmi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI UCHAGUZI BAGAMOYO DC October 05, 2020
  • MITIHANI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (DARASA LA SABA) KUFANYIKA TAREHE 07-08 OKTOBA, 2020 October 07, 2020
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA BAGAMOYO October 23, 2020
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TUDUMISHE USAFI KATIKA WILAYA YETU

    January 09, 2021
  • DR DELPHINE MAGERE AAGIZA KUONGEZA UDHIBITI KATIKA USIMAMIZI WA MAPATO

    January 08, 2021
  • ZIARA: MHE NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI

    January 07, 2021
  • NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS ( TAMISEMI ) DK FESTO JOHN LUGANGE ATEMBELEA WILAYANI BAYAMOYO PAMOJA NA HOSPITAL YA WILAYA

    January 06, 2021
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo