• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

DEC 31 MWISHO WA KUWASILISHA MATAMKO YA MALI VONGOZI WA UMMA.

Posted on: November 15th, 2021

VIONGOZI wa umma wametakiwa kuwasilisha matamko ya Mali zao ambapo mwisho wa kuwasilisha taarifa hizo ni Desemba 31 mwaka 2021 .

Zoezi hilo linaelekea ukingoni hivyo atakaeshindwa kuwasilisha taarifa zake atakuwa amekiuka Sheria ya maadili ambapo hatua za kinidhamu zitachukuliwa ikiwemo kulipia faini ya sh.milioni moja ,ama kifungo cha mwaka mmoja jela.

Akielezea kuhusiana na Sheria ya maadili kwa madiwani wa Halmashauri ya Bagamoyo, Ofisa wa maadili kutoka sekretariet ya maadili ya viongozi wa Umma Kanda maalum,Hamad Bakari Hamad alisema ,dirisha la uwasilishaji wa matamko hayo lilishafunguliwa tangu octoba mwaka uliopita na mwisho wa kupokea taarifa hizo ni mwishoni mwa mwaka huu.

Alisema , viongozi hao wanajua taratibu hizo ,yanapatikana katika sekretariet ya maadili ya viongozi wa Umma ama katika website ,kwa kupakua taarifa ,unajaza kisha wanatakiwa kuthibitisha kwa mwanasheria wa Serikali au wakili yeyote anayetoka mahakama ya Tanzania.

Hamad alitoa wito kwa viongozi hao wafuate maadili ya utumishi ili kutumikia wananchi kwa maslahi mapana ya Umma.

"Tupo chini ya ofisi ya Rais, hatupaswi kusema hatua tunazozichukua ,hatupitishi taarifa sehemu nyingine Kwani tunafanya kazi moja kwa moja na ofisi ya Rais ,Lakini haimaanishi kwamba hatufanyi kazi "alifafanua Hamad.

Nae diwani wa kata ya Yombo Muhammed Usinga alisema wamepokea taarifa na wanashukuru kupata elimu hiyo na kukumbushwa wajibu wao.

Alielezea kwamba,wapo tayari na yeye Ni miongoni mwa watakaokwenda kuwasilisha sehemu ya mali zake na namna alivyozipata.

Diwani huyo ,Usinga alisema hiyo Ni Sheria ,ambayo imetungwa na wawakilishi wetu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,hivyo Wana kila sababu ya kuisimamia na kutekeleza ili kujiepusha na adhabu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • WAPENI ELIMU WANANCHI KUHUSU UGOJWA WA MPOX...

    March 17, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo