• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

HEAD INC. USA WAIMWAGIA HOSPITALI YA WILAYA BAGAMOYO MSAADA WA MILIONI 14

Posted on: October 17th, 2018

Taasisi ya HEAD Inc. inayongozwa na Watanzania wanne waishio Nchini Marekani, imetoa msaada wa fremu za Miwani zenye thamani ya Shilingi Milioni 14 za Kitanzania kwa Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ili kusaidia Wananchi na kuimarisha kitengo cha Macho katika Hospitali hiyo.

Msaada huo umetolewa leo na mmoja wa Viongozi wa Taasisi hiyo Ndg. Mayor Mlima, alipotembelea Hospitalini hapo na kukutana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo pamoja na timu ya uendeshaji huduma za Afya ndani ya Halmashauri CHMT’s ikiongozwa na Daktari Mkuu wa Wilaya Dr. Sylivia Mamkwe.

Bw. Mayor amesema, yeye na wenzake watatu wanaounda taasisi ya HEAD Inc. (Health, Education and Other Development Incorporation) ambao ni Watanzania waishio Nchini Marekani, walioungana kwa ajili ya kujitolea misaada hasa ya Afya Nchini.

“Tumeamua kujiunga na kujitolea misaada katika sekta za Afya, Elimu na mambo mengine yahusuyo maendeleo Nchini na kwa mara ya kwanza tumeamua kufika na kutoa msaada katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ili kusaidia Wananchi wenye matatizo ya Macho waweze kupatiwa huduma ya miwani bure bila kugharimia chochote lakini pia kukiimarisha kitengo cha Macho katika Hospitali hii ya Wilaya” Anasema Bw. Mayor

Nae Ndg. Julius Mwang’anda aliemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji katika mapokezi hayo, ameishukuru sana taasisi hiyo ya HEAD Inc. kwa msaada huo ambao amekiri kuwa utawasaidia sana Wananchi kuweza kupata huduma hiyo ya miwani kwa urahisi wafikapo katika Hospitali hiyo ya Wilaya na kuiomba taasisi hiyo kutoishia hapo bali waikumbuke tena Bagamoyo kila watakapopata nafasi na kuipa misaada hata katika nyanja zingine kama Elimu, Maji n.k ili tu kuiletea Bagamoyo maendeleo na kumsaidia Mwananchi wa hali ya chini.

Taasisi ya HEAD Inc. imekuwa ikitoa misaada katika Sekta za Afya Nchini na kwa Mwaka huu wametoa huduma ya kliniki tembezi katika Hospitali ya Mji Kondoa na katika Hospitali ya Kijenge na Makunduchi huko Unguja kwa kushirikiana na madaktari bingwa wa wanawake, watoto na ngozi toka Hospitali ya Mnazi Mmoja ya huko Unguja ambapo walitoa huduma za utafiti na tiba.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA MARCOSIO TAFIRI AONGOZA WASHIRIKI WA WARSHA KUTEMBELEA WAVUVI WILAYA YA BAGAMOYO...

    May 29, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI...

    May 23, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MWENENDO WA UANDIKISHAJI...

    May 18, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA MAZUNGUMZO NA BODI YA UTALII..

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo