• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

KAMATI YA SIASA BAGAMOYO YARIDHISHWA NA UJENZI WA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO INAYOENDELEA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO.

Posted on: September 18th, 2023

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Bagamoyo leo tarehe 18 September 2023 imetembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea ndani ya halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo, miradi iliyotembelewa ni pomoja na Mradi wa ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Dharura (EMD) katika Hospitali ya Wilaya Bagamoyo, mradi wa Ujenzi wa Shule ya Msingi mpya Kiharaka, Mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Chasimba na Mradi wa ujenzi wa nyumba za walimu katika Shule ya Sekondari Makurunge.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Sharifu Zahoro ameridhishwa na kasi ya ujenzi ya miradi hiyo kwa hatua iliyofikiwa, Mwenyekiti huyo amewaomba wataalamu wanaohusika na katika kusimamia vyema Miradi hiyo na kukamilisha kwa wakati kama ilivyopangwa. "Niwapongeze sana wataaamu mnaosimamia mradi hii kwa kazi nzuri mnayoifanya miradi inaenda vizuri sana nachowaambia muendelee na kasi hii mpaka kukamilika kwake huku mzikingatia thamani ya fedha inayotumika" amesema Mhe. Zahoro

Aidha Mwenyekiti huyo ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zinazojenga miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, pia ametoa pongezi kwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo pamoja na MKurugenzi wa Halmashauri kwa kusimamia vizuri miradi mbalimbali inayoendelea Bagamoyo.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Bi..Halima Okashi amesema wataendelea kushirikiana bega kwa bega na watumishi wa Halmashauri kuhakikisha miradi hii na itakayokuja inafanyika kwa weldi na kukamilika ikiwa na ubora uliokusudiwa.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, Ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Hassan kwa kutoa fedha zinazosaidia kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Halmashauri ya Bagamoyo, "Tunamshukuru Mhe. Rais kwa kutupatia fedha nyingi zinazosaidia kujenga hii miradi ambayo leo tumetembelea na kuikagua, Serikali imetupatia takribani Bilioni 1.3 iliyowekezwa katika miradi hii, pia tuiopongeze kamati ya Siasa ya Wilaya kwa kuamua kuitembelea miradi hii na kujionea maendeleo yake". aliongeza Bw. Selenda

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Bagamoyo baada ya kumaliza kukagua miradi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, itaendelea na ukaguzi wa miradi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • TAARIFA KWA UMMA.. July 16, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • WAPENI ELIMU WANANCHI KUHUSU UGOJWA WA MPOX...

    March 17, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo