• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

KLINIKI MKOBA YA MAMA NA MTOTO SASA KUPATIKANA MTAANI

Posted on: February 25th, 2020


Huduma ya kliniki tembezi ‘mkoba’ ya mama na mtoto (RCH), ambayo imezoeleka kutolewa katika zahanati, vituo vya Afya na Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo, sasa imeanza kutolewa ngazi ya Vitongoji mara moja kila mwezi.

Kuanza kwa huduma za RCH mkoba katika Vitongoji ambavyo huduma za Afya hazipatikani kwa urahisi utarahisisha utoaji huduma za kliniki ya mama na mtoto na kuwapunguzia wakina mama usumbufu wa kufuata huduma hiyo Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo au Zahanati zilizo mbali na makazi yao.

Zoezi hilo ambalo leo limefanyika katika Ofisi ya Kitongoji cha Sanzale, Kata ya Magomeni, limejumuisha utoaji elimu ya lishe bora kwa mama na mtoto, ambapo Afisa Lishe (W) Bi. Sofia Makame kwa kushirikiana na wataalam wengine wa Afya wametoa elimu kwa Wananchi takribani 80 wa kitongoji hicho.

“Lishe bora kwa mama na mtoto katika siku 1000 za mwanzo za maisha ya mtoto ni suala la muhimu sana, tangu mama anaposhika ujauzito hadi mtoto anapotimiza miaka 2,  ni siku 1000 za mwanzo za maisha ya mtoto ambazo ni lazima lishe ya mtoto huyu izingatiwe tangu anapokuwa tumboni kwa mama, kuhakikisha anakula chakula bora ili mtoto huyu azaliwe mwenye afya njema na aendelee kupatiwa chakula bora hadi atakapotimiza umri wa miaka 2 kwani huu ndio muda ambao afya ya mwili na akili ya mtoto hujengwa” Amesema Bi. Sofia

Kliniki mkoba hii pia imetumika kutoa elimu juu ya namna ya kuandaa chakula bora chenye lishe kamili kwa watoto walio chini ya miaka 5, dalili za utapiamlo, madhara ya utapiamlo na matibabu yake.

Vile vile huduma zingine zilizotolewa ni pamoja na huduma za chanjo kwa watoto walio chini ya miaka 05, upimaji hali ya lishe kwa watoto hao, matone ya Vitamini A, dawa za minyoo na huduma za uzazi wa mpango kwa wanawake na wanaume waliohitaji huduma hiyo.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA MARCOSIO TAFIRI AONGOZA WASHIRIKI WA WARSHA KUTEMBELEA WAVUVI WILAYA YA BAGAMOYO...

    May 29, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI...

    May 23, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MWENENDO WA UANDIKISHAJI...

    May 18, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA MAZUNGUMZO NA BODI YA UTALII..

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo