• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MAADHIMISHO MIAKA 61 YA UHURU YAFANYA WILAYANI BAGAMOYO..

Posted on: December 9th, 2022


Madhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania bara Wilayani Bagamoyo ambapo katika maadhimisho hayo kumetolewa mada mbalimbali kuhusu Uhuru wa Tanzania bara pamoja na

Taasisi mbalimbali zilizopo ndani ya Wilaya ya Bagamoyo kueleza Maendeleo na Mafanikio waliyoyapata  toka mwaka 1961 mpaka hivi Sasa


Katika hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Shule ya Sekondari ya Lugoba mbele ya mgeni rasmi,Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo,Bi. Kasilda Jeremiah Mgeni. Kulifanyika shughuli mbalimbali kama michezo ya mpira wa miguu,upandaji miti,usafi wa mazingira na kongamo lililohusisha wananchi wote katika upokeaji wa mafanikio yaliyofikiwa na Serikali katika kuwahudumia wananchi na wananchi walipata fursa ya kutoa maoni yao kwa mafanikio ya Serikali katika sekta mbalimbali.


Katika kongamano hilo wataalam katika sekta mbalimbali walipata fursa ya kutoa maada mbalimbali kisekta na jinsi mafanikio yalivyopatikana ndani ya miaka 61 ya uhuru, maada zilizowasilishwa ni Siasa na Utawala Bora,Ufanisi katika Huduma za Jamii(Afya, Maji, Elimu na Nishati, Hali ya Uchumi, Kilimo,Viwanda, Biashara na Miundombinu.


Aidha wananchi walipata fursa ya kutoa maoni mbalimbali kuhusiana na mafanikio yaliyofikiwa ndani ya miaka 61 sanjari na kauli Mbiu ya maadhimisho hayo ambayo ni:”Amani na Umoja ni Nguzo ya Maendeleo yetu.”

“Serikali yetu imepiga hatua kubwa katika suala la Utawala bora,kwani mwanzo maelekezo yalitoka juu kushuka chini lakini kwa sasa wananchi tunaweza kutoa mahitaji yetu kutoka chini kwenda juu kutokana na vipaumbele vyetu na yakafanyiwa kazi hii ni hatua kubwa kiutawala ndani ya miaka 61 ya Uhuru wetu.” Shekh Nassoro alisema.


Kwa upande wake Mgeni Rasmi katika kongamano hilo kwa niaba ya Mkuu wa wilaya, *Mhe Kasilda Mgeni* aliwapongeza watoa mada wote katika kongamano hilo kwa kuweza kuyabainisha mafanikio ya Serikali kwa kina kisekta ndani miaka 61 ya uhuru wa Taifa la Tanzania na kuwataka washiriki wote kuwa mabalozi katika kuyasema mafanikio hayo hadharani kwani ndiyo uhalisia uliopo.

“Ndugu washiriki niwapongeze wote kwa jinsi mlivyoweza kuyasema kwa kina mafanikio ya Serikali katika nyanja mbalimbali za maisha,pia niwapongeze viongozi wote waliowahi kuliongoza Taifa hili kuanzia muasisi wa Taifa hili Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mzee Ali Hassan Mwinyi, Hayati Benjamin William Mkapa, Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Hayati Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa juhudi mbalimbali walizozifanya na zinazoendelea kufanyika katika kuliletea matokeo chanya Taifa hili.” Mgeni Rasmi alisema.


Pia baadhi ya Viongozi mbalimbali wa kidini wakitoa wasio wao Kwa wananchi wa Bagamoyo na Tanzania kiujumla kuendelea kulinda Amani ya Tanzania.


Wilaya ya Bagamoyo imefanya zoezi la upandaji wa miti Pamoja na kufanya usafi maeneo mbalimbali katika Wilaya, yote ni kuendelea kuenzi Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara.


"Amani ná Umoja ni Nguzo ya Maendeleo yetu".

Matangazo

  • RATIBA YA MHE. MKUU WA MKOA KUTEKELEZA TAARIFA YA MHE. WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI MAPINGA SIKU.. February 20, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI BAGAMOYO AFUNGA MAFUNZO YA UWAWA..

    March 22, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA YAENDELEA BAGAMOYO..

    March 21, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA KUSAIDIA KUTEKKELEZA MALENGO YA ELIMU BAGAMOYO..

    March 20, 2023
  • DC-BAGAMOYO WATAOCHEZEA HAKI YA WANAWAKE NA WATOTO SERIKALI ITAWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU..

    March 08, 2023
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo