• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MABARAZA YA ARDHI MSIOGIPE HAKUNA ALIE JUU YA SHERIA- RC KUNENGE.

Posted on: April 12th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Pwani ,Abubakari Kunenge ameagiza mabaraza ya ardhi kutimiza wajibu wao bila kuogopa mtu, Wala kundi kwani hakuna aliye juu ya sheria.

Aidha ameyataka kuacha kuruhusu mrundikano wa mashauri ,badala yake wajumbe wa mabaraza hayo wafanye Maamuzi kwa wakati bila kusuasua na watende haki kwa wananchi.

Kunenge alitoa maagizo hayo ,mjini Bagamoyo alipokuwa akiwaapisha wajumbe wa baraza la ardhi la Wilaya hiyo, ambapo aliwaasa wasitishwe ,wafanyekazi na Serikali ipo nyuma yao.

Aliwataka kujipima ili kuleta tija , watende haki , Vilevile wasionee mtu .

Alisema katika utawala wa sheria hakuna aliye juu ya sheria hivyo wajumbe walioapishwa wanatakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia ufahamu,ujuzi na utaalamu na kuishi kulingana na majukumu yao.

Pamoja na hayo,Alikemea baadhi ya viongozi wa Chama kuacha kushiriki kukumbatia wabadhilifu ,na kukemea wale wanaofanya dhuluma ,matapeli,kunyang’anya maeneo,kuvamia maeneo kuacha Mara moja na atakaebainika atashughulikiwa na avuliwe madaraka yake ikibidi aondolewe kwenye Chama.

“Mkoa umejipanga kuondoa migogoro ya ardhi ,sitopendelea ,mtu,sitoruhusu vimeseji ,Mimi sio wa hivyoo”: ,ukiwa katika Chama ,Serikali una chombo una mbadhilifu tutamshughulikia ,hatampendelea mtu ,tutatenda haki ,Tumechoka na migogoro ya ardhi “

” Nyinyi wajumbe wa mabaraza ya ardhi, Sitawauliza juu ya utendaji wenu ,nitajua ufanisi wenu kwa kuangalia kiwango gani mtatatua changamoto kwa jamii inayowazunguka na niwaambie hatutarajii tuwe na watu ambao hawatakuwa msaada. Tukiona hamna msaada tutawabadilisha” alifafanua Kunenge.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo ,Zainabu Abdallah alibainisha kukosekana kwa baraza la ardhi ilikuwa kero kwa wananchi ambao walikuwa wanalazimika kwenda kibaha kufuatilia mashauri yao.

Kwa upande wake ,Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na nyumba wilaya ya Kibaha, Sara Mbuga ambaye alimwakilisha Msajili wa Mabaraza ya ardhi mikoa ya Pwani na Dar es salam aliwasihi wajumbe walioapishwa kufanya kazi kwa weledi na uadilifu.

Kati ya Wilaya saba za Mkoa wa Pwani, wilaya tano zina Mabaraza ya Ardhi na Nyumba.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • WAPENI ELIMU WANANCHI KUHUSU UGOJWA WA MPOX...

    March 17, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo