• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MAFUNZO YA WALIMU JAMII WASAIDIZI SHULE ZA UTAYARI AWAMU YA PILI YAENDELEA BAGAMOYO MKOANI PWANI.

Posted on: November 22nd, 2022


Mwezeshaji Mkuu kutoka Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia katika  mpango wa Shule Bora Bi Anna Godwin alifungua rasmi mafunzo  ya walimu jamii wasaidizi (MJM) 38 wa  shule za Utayari awamu ya pili waliotoka katika Halmashauri zote Mkoa wa Pwani yamayofanyika katika Shule ya Bagamoyo Sekondari  kuanzia tarehe 21 hadi 25 Novemba 2022.                  

 Akifungua mafunzo hayo, Bi Anna Godwin aliwashukuru walimu wa jamii wote  waliopata mafunzo awamu ya kwanza kwa kupata nafasi ya kushiriki awamu ya pili. “Nashukuru sana Walimu Wasaidizi wa Jamii  kwa kweli mmefanya kazi kubwa ya kujitolea kwa wiki nne baada ya mafunzo ya awamu ya kwanza,  Hii inaonesha uzalendo mlionao kwa jamii zenu na Serikali kwa ujumla na sasa tumewaita tena kuongeza dozi ya mafunzo yetu ili kuleta ufanisi zaidi katika vituo vyetu”  alisema Bi Anna Godwin.

 Afisa Elimu Mkoa wa Pwani Bi Sarah Mlaki awali alieleza kuwa mafunzo haya awamu ya pili yaliyoandaliwa na ofisi ya Mkoa wa Pwani ni  mwendelezo wa mafunzo kwa ajili ya Walimu Jamii Wasaidizi baada ya kupata mafunzo awamu ya kwanza yaliyotekelezwa kwa Wiki Nne. Sasa tunafanya tathmini na kujiwekea malengo mapya baada ya mafunzo ya awamu ya kwanza. “Tunategemea kuendesha mafunzo haya kwa walimu wa kuanza shule ya utayari  kwa muda wa wiki 12  na tayari Wiki Nne zimepita lazima tufanye tathmini na kutoa mafunzo zaidi kwa walimu jamii wasaidizi  ili kuleta ufanisi’’ alisema Hamis Chikaula Afisa Elimu watu wazima wa Rufiji .                             

 Aidha Chikaula aliendelea kusema kuwa, kuna mafanikio makubwa sana katika uanzishaji wa vituo vya Shule ya Utayari katika Mkoa wa Pwani kwa mfano kati ya vituo 38 vilivyopo sasa kimkoa vituo 29 tayari vina maaeneo ya eka 3 mpaka 10 ya kuweza kaunzisha  shule Shikizi. “Hata hivyo shule 31 kati ya 38 wanapata uji shuleni aya ni mafanikio makubwa’’  alisisitiza Afisa huyo

Akiendelea kutoa taarifa ya ujumla kwa Mgeni Rasmi alisema kuwa kwa sasa, kuna vituo 8 vina Watoto wenye mahitaji maalumu, vituo vinne vina chanagamoto ya lugha na vituo vyenye Watoto chini ya 20 ni vituo vitano.

Kwa upande wao walimu wa Jamii Wasaidizi waliishukuru Seriklai kwa kuibua mradi huu kwani umesadia uelewa wa wazazi kuwapeleka shule watoto wao. ‘’Pamoja na changamoto ya umbali kati ya Shule mama na shule ya utayari,  na ukosefu wa vyoo bora bado kuna haja ya kuboresha maendeleo ya programu huu’’ alisema Mwalimu Senkoro toka Halamshauri ya Wilaya ya Kisarawe.

 Hata hivyo Mratibu wa Shule Bora Mkoa wa Pwani Bi Oliver Kapaya alitumia nafasi hiyo kuwashukuru Wakurugenzi wote wa Halmashauri za Mkoa wa Pwani kwa ushirikiano waliouonesha katika kusaidia utekelezaji wa program hii hadi hapa tulipofikia. ‘’Naamini kabisa mwendelezo wa program hii njia ipo wazi hatuna wasiwasi Halmashauri zimeonyesha ushiriano mkubwa sana’’ alimalizia.

                                                                                                 Shule bora  nia Programu ya Serikali ya Tanzania ya kuboresha elimu ya Awali na Msingi kwa ufadhili wa UKaid wa Serikali ya Uingereza.Unatekelezwa katika Mikoa Tisa ya Tanzania.  Kwa Mkoa wa Pwani vimeanzishwa vituo 38 vinavyotoa elimu na kuna jumla ya walimu jamii wasaidizi 38 walinaopatiwa mafunzo hayo.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIO PATA VIBALI VYA UHAMISHO... January 21, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA PWANI AFANYA ZIARA MAPINGA..

    January 31, 2023
  • MKUU WA MKOA WA PWANI AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA..

    January 30, 2023
  • Waziri Jafo Asisitiza Upnadaji wa Miti.

    December 30, 2022
  • MAADHIMISHO MIAKA 61 YA UHURU YAFANYA WILAYANI BAGAMOYO..

    December 09, 2022
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo