• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MKURUGENZI MTENDAJI BAGAMOYO AFUNGA MAFUNZO YA WALIMU JAMII WASAIDIZI MRADI WA UTAYARI WA KUANZA SHULE..

Posted on: October 20th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo Bwana Shauri Selenda  amefunga mafunzo maalumu ya walimu jamii wasaidizi jana Jumatano katiaka Shule ya Sekondari Bagamoyo Mkoani Pwani. Akifunga mafunzo hayo kama awali aliwapongeza  na kuwashukuru mradi wa Shule Bora kwa kuandaa  mafunzo hayo katika muda muafaka. Aliwashauri walimu waliopata mafunzo kutumia ujuzi walioupata katika mafunzo hayo  kukuza na  kuendeleza elimu katika vituo vya utayari wa kuanza  shule  watakavyopangiwa. Alisisitiza kuwa elimu ndio muhimu zaidi katika maisha kwani inampa mtu uwezo wa kukabiliana na maisha katika mazingira yoyote. ”Elimu ni muhimu sana katika kuleta maendeleo katika Nchi’’ alisisitiza Bwana Selenda. Kwa upande mwingine mgeni rasmi aliwashukuru wakufunzi kwa ubunifu mkubwa katika mafunzo hayo kwa kuwafundisha walimu jamii wasaidizi kupitia elimu  waliyopewa na kuwajengea maarifa. ” Nashukuru sana wakufunzi kwa kweli mmefanya kazi kubwa kuwajengea uwezo walimu hawa hasa kuwezesha kujifunza zana za ufundishaji kutokana na mazingira yao, huu ni ubunifu mkubwa  nawashukuru sana sana’’ alihitimisha Bwana Selenda.

        Akimkaribisha mgeni rasmi kabla ya kufunga mafunzo hayo, Afisa Elimu ya Awali na Msingi  Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo Bi Wema Kajigili alimfahamisha mgeni rasmi  kuwa, chimbuko kubwa la kuanzisha mpango wa utayari wa kuanza shule ni changamoto iliyonekana huko nyuma kuwa, Kimkoa kuna shida kubwa ya watoto wakifika darasa la nne hawajui kusoma na kuandika ndipo ilibuniwa programu hii kuwasaidia watoto walioshindwa kupata mafunzo ya awali wapate mafunzo haya. ‘’ Tunategemea kendesha mafunzo haya watoto ya utayari wa kuanza shule kwa muda wa  wiki 12 na baada ya hapo watoto hao wataingia shule mama kuendelea na masomo ‘’ aliesma Bi Kajigiri. Mafunzo haya ya Utayari wa Kuanza Shule yaliendeshwa kwa miongozo na mitaala iliyotayarishwa na Tasisi ya Elimu na inajikita katika sehemu kuu Tano ikiwemo kuwawezesha walimu jamii wasidizi kuwafundisha watoto mawasiliano kwa lugha ya Kiswahili, utambuzi wa vitu mbalimbali kama picha,mahusiano, kujenga afya na utunzaji wa mazingira na usafi.  Kwa Mkoa wa Pwani vimeanzishwa vituo 36 vitakavyo toa elimu na kuna jumla ya walimu jamii wasaidizi 38 waliopatiwa mafunzo.

 

       Mpango wa Utayari wa Kuanza Shule ni mradi  chini ya Programu ya Shule Bora Nchini unaotelezwa kwa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Uingereza kupitia Cambridge Education Tanzania.


Matangazo

  • ORODHA YA WALIO PATA VIBALI VYA UHAMISHO... January 21, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA WA PWANI AFANYA ZIARA MAPINGA..

    January 31, 2023
  • MKUU WA MKOA WA PWANI AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA..

    January 30, 2023
  • Waziri Jafo Asisitiza Upnadaji wa Miti.

    December 30, 2022
  • MAADHIMISHO MIAKA 61 YA UHURU YAFANYA WILAYANI BAGAMOYO..

    December 09, 2022
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo