• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MKUU WA MKOA WA PWANI AFANYA ZIARA MAPINGA..

Posted on: January 31st, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakari Kunenge, ameanza kutekeleza mapendekezo na msimamo wa Serikali kusimamia migogoro ya ardhi iliyokithiri kata ya Mapinga ambapo imeweka rekodi ya kata inayoongoza kwa migogoro hiyo nchini.

Ameeleza katika hatua hiyo inayochukuliwa na Serikali, wanatarajia kutenda haki ,ila hatoweza kumvumilia yeyote atakayeleta chokochoko na kujiona yupo juu ya Serikali .

Akizungumza katika mkutano wa wananchi wa kata ya Mapinga, Bagamoyo Mkoani Pwani, Kunenge alielezea nia ni kumaliza migogoro,kuipanga kata hiyo kwa kufuata sheria kwani haiwezekani Mapinga isishikike.

Amesema ,kuanzia Februari 2, mwaka huu, atafika Mapinga ,akiwa na orodha ya watu 20 wenye migogoro,na wataenda mguu kwa mguu kwenye maeneo husika na kufanya Maamuzi ili kila mmoja aridhike, ambapo ameongeza zoezi hilo litaendelea wahusika wakiendelea kutaarifiwa hadi watakapomaliza migogoro yote iliyofikishwa kwa Waziri.

“Mtakumbuka nilifika hapa na William Lukuvi (mb) aliyekuwa Waziri wa Ardhi kutatua kero za ardhi mkoa wa Pwani na alisema wazi takwimu inaonyesha hii ndio kata inayoongoza kwa migogoro ya ardhi nchini”

“Aliunda kamati ya watalaam, akiwemo Kamishna wa ardhi mkoa,na mara ya pili nilikuja tena nikiwa na Angelina Mabula Waziri wa Ardhi,ambapo alieleza Serikali imepokea mapendekezo ya kamati na ndio msimamo wa Serikali”amefafanua Kunenge.

Amesema ameanza utekelezaji,Mapinga ni kata tofauti na maeneo mengine ,kwingine ni rahisi kuzitatua migogoro ya ardhi Lakini kwa kata hiyo migogoro ni migumu ,ya muda mrefu na migogoro mingine tayari ipo mahakamani.

Hata hivyo mkuu huyo wa mkoa alieleza Kuwa ,katika utekelezaji huo hatoingilia mahakama kwa maana ya Maamuzi yaliyofanywa na mahakama.

“Ila endapo kutakuwa na masuala ya maadili kwa waliopewa dhamana ya kufanya Maamuzi yaani watendaji,mnitaarifu nitashughulikia kwakuwa Mimi ni Mwenyekiti wa kamati ya maadili ya mahakimu Nina uwezo nao ,nitashughulikia ili haki itendeke” amesema.

Kunenge ameeleza, atahakikisha wananchi wanakuwa salama na amani ,Sasa atakaeona yeye ana mapembe na yupo juu ya sheria asije kumlaumu."

Awali mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Halima Okash ,amesema kuna changamoto kubwa ya migogoro ya ardhi .

Ameelezea kata hiyo inaongoza kwa uuzaji holela na uvamizi uliokithiri ambapo taarifa za migogoro hiyo zilishafika mkoa ,ikaundwa timu ndogo kuangalia utaratibu utakaotumika ili kusuluhisha na kutatua changamoto hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • WAPENI ELIMU WANANCHI KUHUSU UGOJWA WA MPOX...

    March 17, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo