• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

UJENZI WA KITUO CHA AFYA MATIMBWA KUPUNGUZA MSONGAMANO HOSPITALI YA WILAYA YA BAGAMOYO

Posted on: August 24th, 2018


Utekelezaji wa mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya Matimbwa unaoendelea kutekelezwa hivi sasa, unatarajiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa msongamano wa Wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo na hivyo kuboresha utoaji huduma za Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

Ujenzi wa kituo cha Afya Matimbwa, kilichopo katika Kata ya Yombo, Wilayani Bagamoyo, ni mradi unaotekelezwa kwa fedha zilizotolewa na Serikali kuu chini ya Ofisi ya Rais TAMISEMI, kiasi cha Shilingi za Kitanzania Milioni 400.

Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Matimbwa ulianza rasmi utekelezaji wake mnamo tarehe 26 Julai, 2018 na unatekelezwa chini ya utaratibu wa ‘force account’ yaani kutumia mafundi wa kawaida wa ndani wakiwa chini ya usimamizi wa Muhandisi Mkuu wa Halmashauri.

Hadi sasa majengo matatu yanaendelea kujengwa katika mradi huu, ambayo ni jengo la Nyumba ya Mtumishi, Maabara na jengo la tatu ni jengo ambalo limeunganishwa majengo mawili ndani ya moja, na limeunganisha jengo la wodi ya wazazi na jengo la upasuaji.

Nyumba ya mtumishi hadi kufikia sasa ipo katika hatua ya gebo, pia jengo la maabara lipo katika hatua hiyo hiyo ya gebo huku jengo la Wodi ya wazazi ambalo limeunganishwa na jengo la upasuaji likiwa katika hatua ya kupandisha nguzo.

Mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Matimbwa utakapokamilika unatarajiwa kutoa huduma kwa wakazi wa Kata ya Matimbwa na Kata jirani za Fukayosi, Makurunge, na Kiromo.

Ujenzi wa Kituo cha Afya Matimbwa unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa Mwezi wa tisa Mwaka 2018 na kuanza kutoa huduma kwa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo wanaoishi jirani na Kituo hicho cha Afya.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA MARCOSIO TAFIRI AONGOZA WASHIRIKI WA WARSHA KUTEMBELEA WAVUVI WILAYA YA BAGAMOYO...

    May 29, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI...

    May 23, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MWENENDO WA UANDIKISHAJI...

    May 18, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA MAZUNGUMZO NA BODI YA UTALII..

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo