• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

WANAFUNZI 120 SEKONDARI KUSHIRIKI UMISSETA KIMKOA

Posted on: May 25th, 2018


Kambi rasmi ya UMISSETA iliyoketi kwa wiki moja katika Shule ya Sekondari Bagamoyo imefungwa rasmi tarehe 25.05.2018 na Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Bagamoyo Ndg. Raymond Kitima aliyemwakilisha mgeni rasmi aliyetarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Mhe. Majid Mwanga.
Wanafunzi wapatao 120 wanaunda kikosi maalum kitakachoshiriki Mashindano ya Mkoa yatakayofanyikia Wilayani Kibaha kwa ajili ya kuandaa timu ya UMISSETA ya Mkoa wa Pwani itakayoshiriki mashindano ya UMISSETA Kitaifa Mkoani Mwanza yanayotarajiwa kuanza tarehe 06 June, 2018.
Akizungumza wakati wa kufunga kambi hiyo ya UMISSETA kwa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Kamanda wa TAKUKURU Wilaya ya Bagamoyo, Ndg. Raymond Kitima amewaasa vijana hao kudumisha nidhamu na kuepuka kabisa utovu wa nidhamu, ili waweze kufika mbali kimichezo.
Akaongeza, “Mtakapokuwa katika kambi Maandalizi ya UMISSETA Kimkoa hakikisheni mnacheza kwa kufuata sheria na taratibu zilizowekwa katika kila Mchezo, kwani kila mchezo una sheria na taratibu zake zinazopaswa kufuatwa, lakini pia kwa watakaopata bahati ya kuchaguliwa kwenda kuwakilisha Mkoa wa Pwani Kitaifa pia nawasihi mkatuwakilishe vyema, mcheze kwa juhudi na maarifa na kuuletea Mkoa wa Pwani heshima ya Kimichezo inayostahili”
Nae Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bi. Fatuma Latu amewakumbusha vijana hao kuwa Michezo ni Afya, Ajira, burudani lakini pia hujenga ushirikiano, upendo udugu na uzalendo na kuwatia moyo Wanafunzi hao kwenda kwenye kambi ya Mkoa na kucheza kwa ari kwani Michezo pia itawasaidia kuwajenga kimwili kiakili na siku moja itawapatia ajira na hivyo kuwa chanzo cha mapato yao na kuwakomboa kiuchumi.
Afisa Michezo wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Ndg. Vedastus Mziba amesema Kambi ya UMISSETA ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo iliingia kambini tarehe 22.05.2018 ikiwa na jumla ya Wanafunzi 129, Wavulana 69 na Wasichana 60 ambapo baada ya mchujo walibakiwa na Wanafunzi 120. Vijana hawa walijiandaa katika michezo ya mpira wa miguu, mpira wa mikono, mpira wa kikapu na mpira wa pete.
Michezo mingine ilikuwa ni riadha mita 100, 200,400, 800 na 1500, kwaya, ngoma, ngonjera na mashairi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MRATIBU WA MRADI WA MARCOSIO TAFIRI AONGOZA WASHIRIKI WA WARSHA KUTEMBELEA WAVUVI WILAYA YA BAGAMOYO...

    May 29, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI...

    May 23, 2025
  • MWENYEKITI WA TUME HURU YA UCHAGUZI AKAGUA MWENENDO WA UANDIKISHAJI...

    May 18, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA MAZUNGUMZO NA BODI YA UTALII..

    May 15, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo