• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

Ujenzi

Idara ya Ujenzi na zimamoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo inaongozwa na Mkuu wa Idara hiyo Eng.
Simu Na.

Halmasahuri ya Wilaya ya Bagamoyo ina kilometa za Barabara 544.73 kati ya hizo Km 69 ni Barabara za Kitaifa (Trank Road), Km 63 Barabara za mkoa (Reginal Road) na Km. 412.73 ni Barabara za Wilaya ambapo Km 16.8 ni barabara za Lami, Km 36.10 ni barabara za changarawe na Km 359.83 ni barabara za udongo.

Katika mwaka wa fedha 2014/2015, Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo iliidhinishiwa jumla ya  Tshs. 2, 019, 727,200.00,  kupitia mradi wa MIVARF ili kufanya ukarabati wa Barabara za Kisauke – Matipwili kilomita 8.5 imekamilika toka mwezi wa sita 2016, Kiwangwa – Wami/Mambohela kilomita 15 ipo hatua za mwisho za ukamilishaji.

Katika mwaka wa fedha 2015/2016, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo pia iliidhinishiwa jumla ya  Tshs. 717, 600,000.00, kutoka Mfuko wa barabara kwa ajili ya kazi za matengenezo ya barabara za Wilaya kwa mchanganuo ufuatao:-

     AINA YA MATENGENEZO                                                         GHARAMA (TSHS:)
1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance)    km 54.00        118,800,000.00
2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement) km 35.00      105,000,000.00
3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance)    km 18.50        370,000,000.00
4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts)                                     46,320,000.00
5. Usimamizi                                                  77,480,000.00

                                              JUMLA   KUU   717,600,000.00


Aidha, katika mwaka wa fedha 2016/2017, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo  imeidhinishiwa Jumla ya  Tshs: 795,200,000  kwa ajili ya matengenezo ya Barabara kwa mchanganuo ufuatao:-

     AINA YA MATENGENEZO                                                                         GHARAMA (TSHS:)
1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance)     km 64.43                    193,290,000.00
2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement)  km 19.32                    77,280,000.00
3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance)     km 13.1327                     ,380,000.00
4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts)                                                154,620,000.00
5. Road Inventory and Adrics                                                                               5,000,000.00
6. Usimamizi                                                                                                       37,630,000.00
                                                         
                                                  JUMLA  KUU 795,200,000

MAJUKUMU YA IDARA YA UJENZI NA ZIMAMOTO


Kufanya makadirio ya ujenzi wa barabara, madaraja na majengo ya Halmashauri


Kuhakikisha mtandao wa barabara unapata matengenezo kwa wakati na unapitika wakati wote.


Kuandaa bajeti ya matengenezo ya barabara za Halmashauri.


Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi juu ya ujenzi wa aina mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri.


Kutoa ushauri kwa watu binafsi juu wa ujenzi mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri.


Kuandaa michoro mbali mbali ya majengo, barabara na madaraja.


Kufanya usanifu (designing) ya majengo na madaraja.


Kuandaa mpango wa marekebisho au maboresho ya miundo mbinu iliyochakaa kulingana na bajeti iliyotengwa.


Kusimamia kazi za ujenzi wa majengo, barabara na madaraja zinazotekelezwa na wakandarasi au jamii.

Matangazo

  • RATIBA YA MHE. MKUU WA MKOA KUTEKELEZA TAARIFA YA MHE. WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI MAPINGA SIKU.. February 20, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI BAGAMOYO AFUNGA MAFUNZO YA UWAWA..

    March 22, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA YAENDELEA BAGAMOYO..

    March 21, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA KUSAIDIA KUTEKKELEZA MALENGO YA ELIMU BAGAMOYO..

    March 20, 2023
  • DC-BAGAMOYO WATAOCHEZEA HAKI YA WANAWAKE NA WATOTO SERIKALI ITAWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU..

    March 08, 2023
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo