• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS ( TAMISEMI ) DK FESTO JOHN LUGANGE ATEMBELEA WILAYANI BAYAMOYO PAMOJA NA HOSPITAL YA WILAYA

Posted on: January 6th, 2021

Naibu Waziri ofisi ya Raisi ( Tamisemi ) dkt Festo John Lugange mapema hii leo tarehe 

6 januari 2021 ametembelea katika halmashauri ya wilaya ya bagamoyo pamoja na

 hospitali ya wilaya hiyo.

Katika ziara hiyo Mhe Naibu Waziri Tamisemi amepokelewa na Mkuu wa Wilaya Mhe

Zainab Kawawa,Mkurugenzi  Mtendaji  wa Halmashauri ya Bagamoyo Bi Fatuma O

Latu, pamoja na madiwani ,wakuu wa idara mbalimbali za halmashauri hiyo na 

kuelezezwa utendaji kazi wa idara hizo pamoja na changamoto zilizopo.

Mhe Naibu Waziri Tamisemi amefurahi kufika katika halmashauri ya wilaya ya bagamoyo

na kuwashauri mambo mbalimbali pamoja na namna ya kutatua changamoto zinazowa

kabili haswa swala la ujenzi wa vyumba vya madarasa ambavyo kiujumla wanatakiwa 

wakamilishe ili wanafunzi waweze kuanza kusoma masomo ya kidato cha kwanza mwaka

huu 2021.

Pia Naibu Waziri Tamisemi amewatakla watu wote ambao wanahusika katika ukusanyaji wa

mapato ya ndani wahakikishe wanafikia malengo walio jiwekea ili kuweza kuendana na agizo

ambalo serikali imezitaka halmashauri zote kuhakikisha mapato ya ndani yanafikia  asilimia

50 kwa kila mwezi na kuhakikisha wanafanya mgawanyo wa mapato hayo kama ambavyo

walivyoagizwa na serikali.

Naibu Waziri Tamisemi pia ametembelea hospital ya Wilaya ya bagamoyo ili kuweza kuona 

utendaji kazi ambao upo na namna ambavyo wananchi wanapata huduma iliyo kuwa bora

kama ambavyo serikali ilivyoagiza kwa kila mwananchi anapata huduma bora katika vituo 

vyote vya afya nchini..

Naibu Waziri Tamisemi amesema kutoridhishwa na utendaji kazi wa hospital hiyo pamoja na

uongozi uliopo kuanzia mganga mfawidhi,matron na timu ya uendeshaji  ya hospital kiujumla

kutokana na kero zilizokuwepo pia kutokuwepo kwa mfumo sahihi wa ukusanyaji wa fedha 

pamoja na ukosefu wa risiti za kuonesha mapato yanayoingia katika hospital hiyo ,mazingira

yasiyorafiki kwa wagojwa ikiwemo kuwepo kwa uchafu vyooni,lugha mbaya pamoja na

mazingira yaliyozunguka hospital.

Naibu Waziri Tamisemi  ameagiza kuwa Mganga Mfawidhi,Matroni wakae pembeni na kutafuta

Mganga Mfawidhi mwenye uwezo na Matron mwenye uwezo wa kusimamia ipasavyo huduma 

za afya katika Hospital  ya bagamoyo.

Pia ameagiza mganga mkuu wa wilaya kukaa pembeni  kwanza, Tamisemi itatoa utaratibu mzuri

wa kuboresha na kupata Mganga Mkuu  wa Wilaya ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo ili 

aje kusimamia majukumu hayo, wakati hatua nyingine za taratibu za kiutumishi zinafatwa  kwa 

Mganga Mkuu huyo wa Bagamoyo.

‘’kwa maana hii na kuwepo ka kero hizi maana yake timu nzima akiwepo  mganga mkuu wa wilaya

halamashauri ya bagamoyo hatuendi vizuri lakini tunaghalimu  maisha ya wanachi, tunaghalimu

taswira ya serikal,i tunamgharimu mkurugenzi lakini Mhe DC na serikali kiujumla na sisi Tamisemi

mnatugharimu kwa sababu ni kazi yetu kusimamia ba sisi hatupo tayari wanachi wakose huduma

bora kwa sababu ya uzembe wa watu wachache ambao wamepewa dhamana hatupo tayari kabisa

‘’alisema  dkt Festo  John  Naibu Waziri Tamisemi

Aidha pia Mhe Naibu Waziri Tamisemi ametoa maelekezo  kuwa  ifikapo tarehe 30 januari anafika

tena hapo katika hospitali ya halmashauri ya wilaya ya bagamoyo kuona mapato yote ya hospital

na maeneo yote ambayo  yanalipiwa takwimu zinaonesha ni kiasi gani kimelipwa fedha hizo zimefanya

kazi gani na kuweka mfumo wote wa mapokezi wa wagojwa,matunizi ya dawa vitabu vyote ambavyo

vinatakiwa kutumika kuonesha  takwimu za wagonjwa waliopata huduma.

Ziara hiyo ni muendelezo wa ziara mbalimbali zinazofanywa na mawaziri wa wizara tofauti nchi nzima ili 

kuhakikisha watumishi wa umma wanafanya kazi kwa kuzingatia sheria na misingi ya utawala bora na

wanachi wanapata huduma zilizokuwa bora na kutatua kero mablimbali katika wilaya,vijiji na mikoa nchi zima.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KATIKA USAILI UCHAGUZI BAGAMOYO DC October 05, 2020
  • MITIHANI YA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (DARASA LA SABA) KUFANYIKA TAREHE 07-08 OKTOBA, 2020 October 07, 2020
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUSIMAMIA UCHAGUZI JIMBO LA BAGAMOYO October 23, 2020
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TUDUMISHE USAFI KATIKA WILAYA YETU

    January 09, 2021
  • DR DELPHINE MAGERE AAGIZA KUONGEZA UDHIBITI KATIKA USIMAMIZI WA MAPATO

    January 08, 2021
  • ZIARA: MHE NAIBU WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI

    January 07, 2021
  • NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS ( TAMISEMI ) DK FESTO JOHN LUGANGE ATEMBELEA WILAYANI BAYAMOYO PAMOJA NA HOSPITAL YA WILAYA

    January 06, 2021
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo