• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

WANAFUNZI BAOBAB WAFADHILI MAGODORO 30 KITUO CHA AFYA KEREGE

Posted on: November 7th, 2018


Wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita, toka shule ya Sekondari Baobab iliyopo Mapinga Wilayani Bagamoyo, wametoa msaada wa magodoro 30 kwa ajili ya wodi ya wzazi katika kituo kipya cha Afya Kerege.

Vijana hao takribani 50 ni Wanafunzi wanaounda klabu ya UN-CLUB, (Klabu ya Vijana ya Umoja wa Mataifa) iliyoundwa shuleni hapo ikiwa na lengo la kuwafundisha Wanafunzi kujitoa na kusaidia jamii katika nyanja mbali mbali lakini pia huwasaidia wanafunzi wenzao wenye mahitaji maalum Shuleni hapo.

Akizungumza katika risala maalum ya Wanafunzi hao, Debora ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha Sita katika Shule hiyo ya Baobab amesema, wamekuwa na utaratibu maalum wa kuhamasishana kupitia klabu yao na kutoa misaada ya kijamii kwa jamii ya Kitanzania yenye mahitaji kama vile vituo vya kulelea watoto yatima, n.k

“Tumekuwa tukitoa misaada ya kijamii katika vituo vya kulelea watoto yatima na wale waishio katika mazingira magumu. Hadi sasa tumefanikiwa kuifikia mikoa ya Morogoro, Pwani na Dar es Salaam. Baadhi ya vituo tulivyovipatia msaada ni kituo cha Mother Theresa na kituo cha CHAKUWAMA vyote vya Jijini Dar Es Salaam, Kituo cha Green pastures kilichopo Bagamoyo, Pwani na Kituo cha Mihayo kilichopo Morogoro kinachotoa huduma na kulea watoto wenye ulemavu wa ngozi. Tumekuwa tukitoa misaada ya vyakula kama vile mahindi, sukari, mafuta ya kupikia, mchele, unga na sabuni. Na mara hii tumeguswa kuja kukisaidia kituo hiki cha Afya Kerege, ikiwa ni katika kusaidia jamii yetu inayotuzunguka kwa kidogo tunavyojaliwa na Mwenyezi Mungu”, Anasema Debora.

Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo ya Sekondari Baobab Mwl. Venance Hongoa amesema Wanafunzi hao wa Klabu ya UN- CLUB wameamua kutoa msaada huo wa magodoro 30 katika kituo hiko cha Afya Kerege ili kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya tano inayoongozwa Mhe. Rais Dkt. John Joseph Pombe Magufuli za kuboresha na kuimarisha miundombinu ya kutolea huduma za Afya nchini na kuhakikisha inapunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua kwa kujenga vituo vipya vya Afya katika kila Halmashauri Nchini.

Akipokea msaada huo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo, Bi. Fatuma Latu amewashukuru sana Wanafunzi hao wa Shule ya Sekondari Baobab kwa kuwa na moyo huo wa kujitolea kwa jamii, lakini pia akaupongeza uongozi wa Shule hiyo kwa kuwafundisha vijana hao kuwa wazalendo na kuisaidia jamii yao inayowazunguka.

“Kituo hiki cha Afya Kerege ni moja ya kati ya Vituo vipya 44 vya Afya Nchini, vilivyojengwa katika awamu ya kwanza ya uimarishaji na uboreshaji wa miundombinu ya kutolea huduma za Afya unaofanywa na Serikali ya Awamu ya tano, ambapo kilishika namba 1 kwa ubora kati ya Vituo vyote 44 vilivyojengwa katika awamu hiyo ya kwanza. Kituo cha Afya Kerege kimeshaanza kutoa huduma kwa Wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo japo hazitoshi lakini kwa msaada huu mliotupatia leo mmetusaidia kupiga hatua kubwa sana ya utoaji huduma katika Kituo hiki cha Afya Kerege” Amesema Bi. Fatuma Latu.

Ujenzi wa Kituo cha Afya Kerege ulianza mnamo Mwezi Oktoba 2017 na kukamilika Mwezi Machi 2018 kwa ufadhili toka Serikali Kuu na umegharimu jumla ya Shilingi Mil. 500.

Matangazo

  • ZIARA YA MKUU WA MKOA WA PWANI KUTEMBELEA SHUGHULI ZA MAENDELEO WILAYANI BAGAMOYO TAR 05.02.2019 February 04, 2019
  • UTARATIBU WA UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA MLIPA KODI KWA WAFANYABIASHARA WADOGO WADOGO February 01, 2019
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO YANG'ARA TENA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 January 28, 2019
  • HAYA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 January 24, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KAMATI YA HUDUMA ZA JAMII YAKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI 7 YA MAENDELEO

    February 09, 2019
  • WAKULIMA BIDP WALIA NA MKANDARASI

    February 09, 2019
  • WANANCHI CHANGIENI SHUGHULI ZA MAENDELEO- RC NDIKILO

    February 06, 2019
  • BARAZA LA WAHE. MADIWANI WARIDHIA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BAGAMOYO KWA MWAKA 2019/2020

    January 30, 2019
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo