• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

AZANIA WAFUTIWA HATI YA UMILIKI WA ARDHI MAPINGA..

Posted on: February 27th, 2023

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amebatilisha,na kutengua umiliki wa shamba namba 934 lililokuwa mali ya AZANIA Investment and management Services Ltd, kitongoji cha Kiembeni Kata ya Mapinga, Bagamoyo Mkoani Pwani ,lenye ukubwa wa hekari 374 na kuamua kulirejesha Serikalini .

Eneo hilo liliingia katika mgogoro mkubwa na wananchi wavamizi ambapo awali AZANIA alitambulika ni mmiliki halali lakini mwishoni mwa wiki Rais Samia ilimpendeza kubatilisha eneo hilo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani alhaj Abubakar Kunenge,akiwa katika muendelezo wa ziara yake kata ya Mapinga, kutatua migogoro iliyokithiri kata ya Mapinga, alieleza kutokana na kutenguliwa kwa umiliki wa AZANIA kitongoji cha Kiembeni, inatafsiriwa wananchi bado ni wavamizi.

“Kwasasa tuendelee kumuombea mh Rais, kwani akiona imempendeza kutoa maelekezo eneo hili kuwa la makazi mtashukuru,lakini kubatilishwa kwake sio uhalali wa kujimilikisha maeneo mliyovamia”

.”Pabaki kama palivyo ndio Maamuzi ya Serikali,msiendeleze kujenga,mtajiingiza katika hatari,muwe na subira “.

Kunenge alieleza kuwa, na endapo kama Rais ataelekeza liwe eneo la makazi litákuwa Halmashauri ili eneo lipangwe.

Mkuu huyo wa mkoa, alifafanua hakuna aliye juu ya sheria, kwa wale wote waliohusika na uuzaji holela na utapeli wa viwanja Mapinga wachukuliwe hatua za kisheria.

“Nimedhamiria kupiga kambi hapa, kuisafisha kata hii, na kukomesha uuzaji holela wa maeneo,kwa kufuata maelekezo ya kamati iliyoundwa na Waziri wa Ardhi Angelina Mabula,na nitahakikisha nayasimamia Maamuzi ya kamati hiyo na Serikali “alieleza Kunenge.

Nae Mbunge wa Jimbo la Bagamoyo,Muharami Mkenge alieleza ni wakati wa kufanya maendeleo mengine na atahakikisha migogoro ya ardhi Mapinga na Makurunge inapungua.

Alisema ,Eneo la Greenwood  ,lenye ukubwa wa hekari 5,000 pamoja na shamba la JENETA yote yaliyopo Makurunge,sanjali na kiwanja kimoja kilichopo kata ya Kisutu vimerudishwa Serikalini kwa ajili ya shughuli na maelekezo atakayoelekeza Rais.

Mkenge alisema,tangu mwaka 2021 alianza kusimamia kero hizo,na sasa kata ya Makurunge matokeo yameanza kuonekana.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Halima Okash alitoa rai kwa Wananchi kuacha kuuza ardhi kiholela na yeyote aliyeuziwa ardhi apate hati ya halali ili kujiepusha na migogoro.

“Huwa nasikiliza kero za wananchi kila Jumanne na Ijumaa na asilimia 99.9 ya malalamiko nayofikishiwa ni migogoro ya ardhi,”hili ni tatizo kubwa katika wilaya yetu na nitahakikisha nalishughulikia “alieleza Okash.

Kwa upande wa wananchi,mzee Bole Shindika alisema msimamo wa Serikali lazima uheshimiwe, wanashukuru Rais kwa hatua ya kwanza aliyoichukua na wanasuubiri muongozo wake.

Matangazo

  • RATIBA YA MHE. MKUU WA MKOA KUTEKELEZA TAARIFA YA MHE. WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI MAPINGA SIKU.. February 20, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI BAGAMOYO AFUNGA MAFUNZO YA UWAWA..

    March 22, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA YAENDELEA BAGAMOYO..

    March 21, 2023
  • MAFUNZO YA UWAWA KUSAIDIA KUTEKKELEZA MALENGO YA ELIMU BAGAMOYO..

    March 20, 2023
  • DC-BAGAMOYO WATAOCHEZEA HAKI YA WANAWAKE NA WATOTO SERIKALI ITAWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU..

    March 08, 2023
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo