• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Divisheni na Vitengo
    • Divisheni
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Divisheni ya Elimu ya Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
    • Vitengo
      • Kitengo cha Huduma za Kisheria
      • Kitengo cha TASAF
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Fedha na Hesabu
      • Kitengo cha Usimamizi wa Usafi na Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Teknolojia Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
      • Kitengo cha Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Usimamizi wa Manunuzi
      • Kitengo cha mawasiliano Serikalini
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2024-2025
      • Bajeti ya Halmashauri kwa Mwaka 2025/2026
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

JUMUIYA YA MARIDHIANO BAGAMOYO IACHE KUINGILIA MAMLAKA NYINGINE: MADIWANI BAGAMOYO WANG'AKA

Posted on: September 20th, 2019

BARAZA la Madiwani Halmashauri ya Bagamoyo Mkoani Pwani, limeiasa Jumuiya  ya Maridhiano wilayani humo kuacha kuingilia mamlaka nyingine ambazo zipo kisheria na badala yake zitekeleze majukumu yao ya kikazi  .

Baadhi ya madiwani akiwemo, diwani wa kata ya Fukayose ambae pia ni mwenyekiti wa halmashauri ya Bagamoyo Ally Issa, waliyasema hao wakati wa baraza lililowakaribisha viongozi wa Jumuia hiyo, kwa lengo la kuwatambua na kufahamu mipaka ya kazi zao.

Aidha inadawa waliwahi kufika ndani ya kata ya Fukayose kuhoji taarifa ya mapato na matumizi, jambo ambalo ni kinyume na malengo ya Jumuiya inayolenga usuluhishi na kuweka sawa mambo pale penye migongano.

Nae diwani wa kata ya Yombo Mohammed Usinga, alisema baadhi ya viongozi hao wanatekeleza mambo nje ya taratibu kwani wamekuwa wakifika katika ofisi ya kata na kumtaka mtendaji kutoka nje ya ofisi ili wafanye mkutano.

Awali Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Dauson Shigea alisema Jumuiya hiyo imesajiliwa kisheria na inafanya kazi ya maridhiano na wanaikana kamati ya amani kutokana na kwamba haipo.

Akitoa ufafanuzi huo, juu ya mkanganyiko wa kushahabiana majukumu ya kazi baina ya jumuiya ya maridhiano na kamati ya amani, mkuu wa wilaya ya Bagamoyo ,Zainab Kawawa alisema ,kamati hiyo ipo na inafanya kazi kwa mujibu wa taratibu kitaifa,kimkoa na kiwilaya.

Zainab alikemea asitokee mtu ,kundi la watu ,Jumuiya ama taasisi yeyote kupotosha na kuvumisha kuwa kamati ya amani imekufa kwa maslahi binafsi.

“Nilishapokea taarifa pia zisizo rasmi kuwa wilayani humo kuna Jumuiya ya maridhiano na yeye bado sijaifahamu na kimsingi inafanyaje kazi zak”.

Nae Katibu wa BAKWATA wilaya ya Bagamoyo ,ambae pia ni mratibu wa kamati ya amani wilayani humo, Hashim Juma alipoulizwa kuhusu kufutwa kwa kamati hiyo alisema hana taarifa hizo kwani endapo hatua hizo zingechukuliwa wangepewa taarifa za kimaandishi kutoka ngazi ya kitaifa na kimkoa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUTEULIWA KATIKA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI KUDUMU LA WAPIGA KURA 2025 AWAMU YA PILI... May 09, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE WA UHURU WILAYA YA BAGAMOYO... February 26, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA OBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.. February 07, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI... July 14, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • BAGAMOYO KUJITANGAZA KIMATAIFA SEKTA YA UTALIII...

    May 10, 2025
  • HALMASHAURI YA BAGAMOYO YAPANDA MITI 500 ENEO LA MNADA WA ZINGA KUBORESHA MAZINGIRA...

    April 15, 2025
  • TUTAENDELEA KUSIMAMIA KWA DHATI NA HAKI MISINGI YA DEMOKRASIA...

    April 02, 2025
  • ELIMU KUHUSU MPOX YATOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI...

    March 20, 2025
  • Angalia zote

Video

SOKO LA SAMAKI BAGAMOYO.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 0733860575

    Simu ya kiganjani: 0733860575

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo