• Malalamiko |
    • Wasilina nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
    • Ushauri |
Bagamoyo District Council
Bagamoyo District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo

  • Mwanzo
    • Baraza la Madiwani
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Muundo wa Taasisi
    • Sheria ndogo za Halmashauri
      • Baraza la Madiwani
        • Historia
        • Dhima na Dira
        • Muundo wa Taasisi
        • UKARIBISHO
        • service one
        • what we do
        • Utalii
        • Kaole Snake Park
        • Kaole Mamba Ranch
        • Completed
        • Elimu
        • Afya
        • Maji
        • Caravan Serai
        • Education
        • Ukaguzi wa Ndani
        • TAARIFA YA O& OD
        • Miradi iliyopendekezwa
        • Bajeti ya Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo
        • Maendeleo ya Jamii
        • Elimu Msingi
        • Elimu Sekondari
        • Ujenzi
        • Mfuko wa Jamii
        • Mifugo na Uvuvi
        • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Idara ya Maji
        • Sheria ndogo za Halmashauri
        • Ardhi na Mipango Miji
        • Idara ya Ujenzi na Zimamoto
        • Sheria
        • Ufugaji Nyuki
        • Usafishaji na Mazingira
        • Fedha na Biashara
        • Election Unit
        • Ugavi na Manunuzi
        • Maeneo ya Uwekezaji
        • TEHAMA na Uhusiano
        • Kupata Fomu Mbalimbali
        • Madiwani
        • Baraza la Madiwani
        • Orodha ya Wahe.Madiwani
        • Kamati za kudumu za Halmashauri
          • Elimu, Afya na Maji
          • Fedha, Uogozi na Mipango
          • Kamati ya UKIMWI
          • Kamati ya Maadili
          • Uchumi, Ujenzi, Mipango miji na Mazingira
        • Ratiba za Vikao vya Kisheria
        • Ratiba
          • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
          • Ratiba ya Vikao vya Wahe. Madiwani
        • Mpango Mkakati
        • Bajeti ya Halmashauri
        • Mkataba wa huduma kwa Mteja
        • ZABUNI MBALI MBALI ZA UWAKALA
    • Baraza la Madiwani
  • Idara na Vitengo
    • Mifugo na Uvuvi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Works
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Usafi na Mazingira
      • Fedha na Biashara
      • Maji
      • Elimu Msingi
    • Kitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Election Unit
      • TEHAMA na Uhusiano
  • Huduma
    • Elimu
    • Afya
    • Maji
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Matangazo
    • Miongozo
    • Fomu mbali mbali
    • Mpango Mkakati
    • Bajeti Kuu ya Halmashauri 2018/2019
    • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi iliyopendekezwa
    • Maeneo ya Uwekezaji
    • Miradi inayoendelea
  • Utalii
    • Kaole Snake Park
    • Kaole Mamba Ranch
    • Caravan Serai
  • Zabuni
    • ZABUNI MPYA
    • ZABUNI MBALIMBALI ZA UWAKALA
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba za Vikao vya Kisheria
    • Vikao vya Wahe. Madiwani
    • Ratiba

MAFUNZO YA UWAWA KUSAIDIA KUTEKKELEZA MALENGO YA ELIMU BAGAMOYO..

Posted on: March 20th, 2023

Ushirikiano kati ya Walimu wakuu,Wazazi au Walezi na Wenyeviti wa  Kamati za shue imetajwa moja ya nguzo muhimu katika kuleta afanisi wa  maendeleo ya elimu katika madarasa ya awali na msingi  Halmshauri ya Wilaya ya Bagamoyo.

      Akifungua Mafunzo ya siku 3 ya Uongozi na Uhuishaji wa Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWaWa) leo tarehe 20 Marchi 2023 Mjini Bagamoyo Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wiliya ya Bagamoyo Bw Majid Mhina alisema kuwa, dhana ya ushirikiano kati ya Walimu, Wazazi na Wenyeviti wa Kamati za Shule ndio  nguzo pekeee itakayosadia kukuza maendeleo ya elimu katika Shule zetu.

       Mafunzo hayo ya kuanzisha umoja wa Ushirikiano kati ya Walimu na Wazazi (UWaWa) hapa Bagamoyo yanatolewa kwa Walimu Wakuu,wenyeviti wa Kamati za Shule pamoja na Waratibu Elimu Kata 91 kutoka kata zote 11za Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo   yakiwa na lengo la kukuza ushirikiano kati ya Wazazi na walimu, kutokomeza utoro mashuleni,mimba, na upatikanaji wa chaku katika shule pamoja na usalama wa wanafunzi kwa ujumla wake. ‘’ Ni mategemeo yangu kuwa baada ya mafunzo haya yataleta tija kwenu pamoja na jamii katika maaneo yenu ‘’ alisema Bw Mhina. Hata hivyo Kaimu Mkururugenzi alitaoa maagizo kadhaa  kwa wanasemina  baada ya mafunzo ya UWaWa washikiriki katika maeneo yao kufuatilia kwa karibu masuala ya ufaulu, upatikanaji wa chakula mashuleni,Mazingira bora ya Shule pamoja na kuwafundisha wanafunzi wetu dhana ya Elimu ya Kujitegemea.

         Kwa upande Afisa Elimu ya Awali na Msingi Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo Bi Wema Kajigili aliwashukuru Walimu,Maafisa Elimu Kata pamoja na Wenyeviti wote wa Kamati za Shule katika Halmashauri ya Bagamoyo kwa ushirikiano wao na kuifanya Halmshauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuongoza katika Nyanja zote za kieleimu Mkoani Pwani.  ‘’Tunajivunia kwa ushirikiano huu umetuwezesha kuongoza ufaulu katika mitihani kwa 94% hay ani mafanikio makubwa sana Kimkoa’’ Alisema Bi Kajigili.

             Mafunzo ya Ushirikiano kati ya Walimu na Wazazi (UWaWa) yanafadhiliwa na Mradi wa Elimu Bora kupitia Ufadhili wa Serikali ya Uingereza (UK Aid) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu na Ofisi Rais TAMISEMI.

Matangazo

  • RATIBA YA MHE. MKUU WA MKOA KUTEKELEZA TAARIFA YA MHE. WAZIRI WA ARDHI KUHUSU MIGOGORO YA ARDHI MAPINGA SIKU.. February 20, 2023
  • NAFASI ZA KAZI. 1. WAANDIKISHAJI WAPIGA KURA 167. 2. WAANDIKISHAJI WA AKIBA 167. September 11, 2019
  • Tangazo la nafasi za kazi Halamashauri ya wilaya Bagamoyo 2020. January 24, 2020
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI NA BVR OPERATOR BAGAMOYO DC TAREHE 09/01/2020 February 07, 2020
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA...

    June 07, 2023
  • CHANGWAHELA WATAKIWA KUPISHA ENEO KWA AJILI YA HIFADHI YA MIKOKO..

    June 07, 2023
  • SERIKALI YAENDELEA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI..

    June 06, 2023
  • Maadhimisho ya Mazingira Duniani..

    June 05, 2023
  • Angalia zote

Video

KAULI YA RAIS MAGUFULI WAKATI AKIZINDUA BARABARA YA BAGAMOYO - MSATA
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Instagram

Tovuti muhimu

  • Salary Slip Portal
  • Presidential Office Regional Administrative and Local Goverment
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

Wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

Free Visitor&Stat Counter

Muongozo wa Ramani

Wasilina nasi

    Bagamoyo

    Anwani ya Posta: Box 59 BAGAMOYO

    Simu: 023 - 2440164

    Simu ya kiganjani:

    Barua pepe: ded.bagamoyo@pwani.go.tz

Other Contacts

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Bagamoyo